forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
549 B
Markdown
20 lines
549 B
Markdown
# Mfalme aliongea nao
|
|
|
|
Mfalme aliongea na vijana wanne (1:17)
|
|
|
|
# miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli,Hanania, Mishaeli, na Azaria
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo kubalifu. "Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria walimfurahisha sana zaidi ya mtu yoyote katika kundi"
|
|
|
|
# "Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
|
|
|
# mara kumi zaidi
|
|
|
|
hapa maneno "mara kumi" yanatia chumvi kumaanisha ubora wa hali.
|
|
|
|
# kwanza wa Mfalme Koreshi
|
|
|
|
"mwaka wa kwanza wa mfalme Koreshi alitawala Babeli."
|