sw_tn/dan/01/19.md

549 B

Mfalme aliongea nao

Mfalme aliongea na vijana wanne (1:17)

miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli,Hanania, Mishaeli, na Azaria

Hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo kubalifu. "Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria walimfurahisha sana zaidi ya mtu yoyote katika kundi"

"Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria

Haya ni majina ya wanaume.

mara kumi zaidi

hapa maneno "mara kumi" yanatia chumvi kumaanisha ubora wa hali.

kwanza wa Mfalme Koreshi

"mwaka wa kwanza wa mfalme Koreshi alitawala Babeli."