forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
872 B
Markdown
44 lines
872 B
Markdown
# mfalme akamwambia
|
|
|
|
inmrejelea Nebukadneza
|
|
|
|
# Ashipenazi
|
|
|
|
Huyu alikuwa na afisa wake mkuu
|
|
|
|
# kiungwana
|
|
|
|
hili ni tabaka la juu sana la kijamii
|
|
|
|
# wasio na hila
|
|
|
|
Maneno haya mawili ya kukanusha kwa pamoja yametumika kutilia mkazo wazo chanya. "wenye mwonekano kamili"
|
|
|
|
# wenye kujawa na ufahamu na weledi
|
|
|
|
Hii ni nahau. Hii ina maana ya kwamba walijua vitu vingi na waliweza kupanga na kutumia maelezo yale.
|
|
|
|
# ikulu ya mfalme
|
|
|
|
Hii ni nyumba au jengo kubwa mahali ambapo mfalme aliishi
|
|
|
|
# Alitakiwa kuwafundisha
|
|
|
|
"Ashipanezi alitakiwa kuwafundisha"
|
|
|
|
# Mfalme aliwatengea kwa ajili yao
|
|
|
|
Maafisa wa mfalme walifanya hivyo kwa niaba ya mfalme.
|
|
|
|
# chakula kizuri
|
|
|
|
Chakula maalumu, adimu na kizuri ambacho mfalme alikula.
|
|
|
|
# Vijana hawa walitakiwa kufunzwa
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Ashipenazi alitakiwa kuwafunza vijana hawa"
|
|
|
|
# kufunzwa
|
|
|
|
"kufundisha maarifa"
|