sw_tn/dan/01/03.md

872 B

mfalme akamwambia

inmrejelea Nebukadneza

Ashipenazi

Huyu alikuwa na afisa wake mkuu

kiungwana

hili ni tabaka la juu sana la kijamii

wasio na hila

Maneno haya mawili ya kukanusha kwa pamoja yametumika kutilia mkazo wazo chanya. "wenye mwonekano kamili"

wenye kujawa na ufahamu na weledi

Hii ni nahau. Hii ina maana ya kwamba walijua vitu vingi na waliweza kupanga na kutumia maelezo yale.

ikulu ya mfalme

Hii ni nyumba au jengo kubwa mahali ambapo mfalme aliishi

Alitakiwa kuwafundisha

"Ashipanezi alitakiwa kuwafundisha"

Mfalme aliwatengea kwa ajili yao

Maafisa wa mfalme walifanya hivyo kwa niaba ya mfalme.

chakula kizuri

Chakula maalumu, adimu na kizuri ambacho mfalme alikula.

Vijana hawa walitakiwa kufunzwa

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Ashipenazi alitakiwa kuwafunza vijana hawa"

kufunzwa

"kufundisha maarifa"