forked from WA-Catalog/sw_tn
872 B
872 B
mfalme akamwambia
inmrejelea Nebukadneza
Ashipenazi
Huyu alikuwa na afisa wake mkuu
kiungwana
hili ni tabaka la juu sana la kijamii
wasio na hila
Maneno haya mawili ya kukanusha kwa pamoja yametumika kutilia mkazo wazo chanya. "wenye mwonekano kamili"
wenye kujawa na ufahamu na weledi
Hii ni nahau. Hii ina maana ya kwamba walijua vitu vingi na waliweza kupanga na kutumia maelezo yale.
ikulu ya mfalme
Hii ni nyumba au jengo kubwa mahali ambapo mfalme aliishi
Alitakiwa kuwafundisha
"Ashipanezi alitakiwa kuwafundisha"
Mfalme aliwatengea kwa ajili yao
Maafisa wa mfalme walifanya hivyo kwa niaba ya mfalme.
chakula kizuri
Chakula maalumu, adimu na kizuri ambacho mfalme alikula.
Vijana hawa walitakiwa kufunzwa
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Ashipenazi alitakiwa kuwafunza vijana hawa"
kufunzwa
"kufundisha maarifa"