forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
507 B
Markdown
16 lines
507 B
Markdown
# Enenda kwa hekima kwa wale walioko nje
|
|
|
|
Wazo la kuenenda mara nyingi limetumika kwa ajili kungoza maisha ya mtu. "ishi kama kwamba wale ambao sio waamini wataona kwamba mnahekima"
|
|
|
|
# kuokoa mda
|
|
|
|
"fanya mambo mazuri mnayoweza kwa mda wako" au "weka mda wako kwa busara"
|
|
|
|
# maneno yenu yawe na neema wakati wote. wakati wote ikolee chumvi
|
|
|
|
"Mazungumzo yenu wakati wote yawe na neema na ya kuvutia."
|
|
|
|
# lazima mjue jinsi ya kuwajibu
|
|
|
|
" lazima ujue namna ya kujibu maswali ya kila mmoja kuhusu Yesu Kristo"
|