forked from WA-Catalog/sw_tn
660 B
660 B
tiini mabwana zenu kulingana na mwili
"tiini mabwana zenu wa kidunia"
sio kwa huduma ya machoni kama watu wa kufurahisha
"Vitu. msitii pale tu wakati Bwana wenu anawatazama, kama ambavyo mnatakiwa kuwafurahisha watu"
kama kwa Bwana
"kama muwezavyo kufanya kwa Bwana"
"tuzo ya umilikaji"
"zawadi ya urthi"
urithi
Kupokea kile Mungu alichowaahidi waamini kinazungumziwa kana kwamba kulikuwa na mali na utajiri kutoka wanafamilia.
yeyote atendaye yasiyo haki atapokea huku
"Mungu ataadhibu yeyote afanyaye yasiyohaki"
afanyaye uovu
ambaye atendaye makosa yoyote
hakuna upendeleo
"Mungu humuhukumu kila mmoja kwa kiwango kile kile"