sw_tn/col/03/22.md

660 B

tiini mabwana zenu kulingana na mwili

"tiini mabwana zenu wa kidunia"

sio kwa huduma ya machoni kama watu wa kufurahisha

"Vitu. msitii pale tu wakati Bwana wenu anawatazama, kama ambavyo mnatakiwa kuwafurahisha watu"

kama kwa Bwana

"kama muwezavyo kufanya kwa Bwana"

"tuzo ya umilikaji"

"zawadi ya urthi"

urithi

Kupokea kile Mungu alichowaahidi waamini kinazungumziwa kana kwamba kulikuwa na mali na utajiri kutoka wanafamilia.

yeyote atendaye yasiyo haki atapokea huku

"Mungu ataadhibu yeyote afanyaye yasiyohaki"

afanyaye uovu

ambaye atendaye makosa yoyote

hakuna upendeleo

"Mungu humuhukumu kila mmoja kwa kiwango kile kile"