forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
660 B
Markdown
32 lines
660 B
Markdown
|
# tiini mabwana zenu kulingana na mwili
|
||
|
|
||
|
"tiini mabwana zenu wa kidunia"
|
||
|
|
||
|
# sio kwa huduma ya machoni kama watu wa kufurahisha
|
||
|
|
||
|
"Vitu. msitii pale tu wakati Bwana wenu anawatazama, kama ambavyo mnatakiwa kuwafurahisha watu"
|
||
|
|
||
|
# kama kwa Bwana
|
||
|
|
||
|
"kama muwezavyo kufanya kwa Bwana"
|
||
|
|
||
|
# "tuzo ya umilikaji"
|
||
|
|
||
|
"zawadi ya urthi"
|
||
|
|
||
|
# urithi
|
||
|
|
||
|
Kupokea kile Mungu alichowaahidi waamini kinazungumziwa kana kwamba kulikuwa na mali na utajiri kutoka wanafamilia.
|
||
|
|
||
|
# yeyote atendaye yasiyo haki atapokea huku
|
||
|
|
||
|
"Mungu ataadhibu yeyote afanyaye yasiyohaki"
|
||
|
|
||
|
# afanyaye uovu
|
||
|
|
||
|
ambaye atendaye makosa yoyote
|
||
|
|
||
|
# hakuna upendeleo
|
||
|
|
||
|
"Mungu humuhukumu kila mmoja kwa kiwango kile kile"
|