forked from WA-Catalog/sw_tn
883 B
883 B
Sentensi Unganishi:
Kristo hubadilisha dhambi za waumini wa mataifa kwa utakatifu wake.
Na wewe pia
"Na ninyi Waamini wa Kolosai pia"
Mlikuwa wageni kwa Mungu
"Mlikuwa mmtengwa kutoka kwa Mungu" au "mlikuwa mmesukumwa mbali naMungu."
kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama mbele yake
Paulo anawaeleza Wakolosai ingawa Yesu aliwasafisha, kuwaweka katika nguo safi, na kuwaleta kusimama mbele ya Mungu Baba.
bila lawama, na bila dosari
Paulo anatumia maneno mawili yenye maana zinazokaribiana kusisitiza wazo la ukamilifu. "kamili"
mbele yake
"katika mtazamo wa Mungu" au "fikra ya Mungu"
iliyotangazwa
ambayo waumini walitangaza
kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu
"kwa kila mtu katika dunia"
injili ambayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi
Paulo alikuwa mtumishi wa Mungu halizi. "injili ambayo mimi, Paulo, akimtumikia Mungu kwa kutaingaza"