sw_tn/col/01/21.md

883 B

Sentensi Unganishi:

Kristo hubadilisha dhambi za waumini wa mataifa kwa utakatifu wake.

Na wewe pia

"Na ninyi Waamini wa Kolosai pia"

Mlikuwa wageni kwa Mungu

"Mlikuwa mmtengwa kutoka kwa Mungu" au "mlikuwa mmesukumwa mbali naMungu."

kuwaleta ninyi watakatifu, wasio na lawama mbele yake

Paulo anawaeleza Wakolosai ingawa Yesu aliwasafisha, kuwaweka katika nguo safi, na kuwaleta kusimama mbele ya Mungu Baba.

bila lawama, na bila dosari

Paulo anatumia maneno mawili yenye maana zinazokaribiana kusisitiza wazo la ukamilifu. "kamili"

mbele yake

"katika mtazamo wa Mungu" au "fikra ya Mungu"

iliyotangazwa

ambayo waumini walitangaza

kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu

"kwa kila mtu katika dunia"

injili ambayo mimi, Paulo, nimekuwa mtumishi

Paulo alikuwa mtumishi wa Mungu halizi. "injili ambayo mimi, Paulo, akimtumikia Mungu kwa kutaingaza"