sw_tn/col/01/09.md

1.1 KiB

Sentensi Unganishi:

Kwa sababu Rohi amewawezesha kuwapenda wengine, Paulo anawaombea na kuwaambia hapa vile aombavyo kwa ajili yao.

Kwa sababu ya upendo huu

"Kwa sababu Roho Mtakatifu amewawezesha kupenda waumini wengine."

Tulisikia...hatujaacha...tumekuwa tukiuliza...tumekuwa tukiomba

Hii inaonyesha Paulo na Timotheo lakini si waumini wakolosai

tangu siku tuliposikia hivi

"tangu siku Epafra alipotuambia haya mambo"

kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake

Paulo anazungumzia waumini wa Kolosai kana kwamba walikuwa chombo cha kubebea. "kwamba Mungu atawajaza kwa kile mnachohitaji kukijua hivyo basi mtafanya mapenzi yake"

Katika hekima yote na ufahamu wa kiroho

"Hekima na ujuzi mmpewa kwa Roho Mtakatifu"

kwamba mtembee katika ustahimilivu wa Bwana katika yeye

"Kwamba muishi katika njia ambayo Ingempendeza Mungu"

katika njia zinazompendeza

"katika njia ambazo zitampendeza Bwana"

Mzae matunda

Hii inalingashwa na mti uzaao matunda kwa kazi nzuri ya waumini.Kama mmea ukuao nakuzaa matunda, hivyo pia waaumini ni kukua katika kumjua Mungu na katika kutenda matendo mema.