forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Kwa sababu Rohi amewawezesha kuwapenda wengine, Paulo anawaombea na kuwaambia hapa vile aombavyo kwa ajili yao.
|
||
|
|
||
|
# Kwa sababu ya upendo huu
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu Roho Mtakatifu amewawezesha kupenda waumini wengine."
|
||
|
|
||
|
# Tulisikia...hatujaacha...tumekuwa tukiuliza...tumekuwa tukiomba
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha Paulo na Timotheo lakini si waumini wakolosai
|
||
|
|
||
|
# tangu siku tuliposikia hivi
|
||
|
|
||
|
"tangu siku Epafra alipotuambia haya mambo"
|
||
|
|
||
|
# kwamba mtajazwa na maarifa ya mapenzi yake
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia waumini wa Kolosai kana kwamba walikuwa chombo cha kubebea. "kwamba Mungu atawajaza kwa kile mnachohitaji kukijua hivyo basi mtafanya mapenzi yake"
|
||
|
|
||
|
# Katika hekima yote na ufahamu wa kiroho
|
||
|
|
||
|
"Hekima na ujuzi mmpewa kwa Roho Mtakatifu"
|
||
|
|
||
|
# kwamba mtembee katika ustahimilivu wa Bwana katika yeye
|
||
|
|
||
|
"Kwamba muishi katika njia ambayo Ingempendeza Mungu"
|
||
|
|
||
|
# katika njia zinazompendeza
|
||
|
|
||
|
"katika njia ambazo zitampendeza Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Mzae matunda
|
||
|
|
||
|
Hii inalingashwa na mti uzaao matunda kwa kazi nzuri ya waumini.Kama mmea ukuao nakuzaa matunda, hivyo pia waaumini ni kukua katika kumjua Mungu na katika kutenda matendo mema.
|