forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
549 B
Markdown
24 lines
549 B
Markdown
# Tumeshasikia
|
|
|
|
Paulo anajiondoa katika wasikilizaji anasemapo "sisi"
|
|
|
|
# Imani yenu katika Kristo Yesu
|
|
|
|
"Kuamini kwenu katika Kristo Yesu"
|
|
|
|
# kwa sababu ya tarajio la uhakika lililohifadhiwa kwa ajili yenu mbinguni
|
|
|
|
Ambalo ni matokeo ya uhakika wenu wa tumaini kwa kile Mungu ametunza mbinguni
|
|
|
|
# kuzaa tunda na kuenea
|
|
|
|
Hapa Paulo anazungumzia kana kwamba kulikuwa mti au mche/mmea ambao ukuapo na kuzalisha chakula.
|
|
|
|
# ulimwenguni kote
|
|
|
|
Injili inaene na kukua kupitia dunia iliyojulikana.
|
|
|
|
# neema ya Mungu katika kweli
|
|
|
|
"neema ya Mungu ya kweli"
|