sw_tn/amo/07/10.md

385 B

Kuhani

Maana ziwekanazo: 1) Amazia alikuwa kuhani pekee katika Betheli au 2) Amazia mkuu wa makuhani katika Betheli.

amosi amefanya njama dhidi yako katikati ya nyumba ya Israeli

"Amosi yuko hapa katika nchi ya Israeli, na anapanga kufanya mambo mabay kwako"

Nchi haiwezi kubeba maneno yote haya

"Watu wanaweza kumwamini na kisha kufanya mambo mabaya yatakayo haribu taifa"