forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
385 B
Markdown
12 lines
385 B
Markdown
|
# Kuhani
|
||
|
|
||
|
Maana ziwekanazo: 1) Amazia alikuwa kuhani pekee katika Betheli au 2) Amazia mkuu wa makuhani katika Betheli.
|
||
|
|
||
|
# amosi amefanya njama dhidi yako katikati ya nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"Amosi yuko hapa katika nchi ya Israeli, na anapanga kufanya mambo mabay kwako"
|
||
|
|
||
|
# Nchi haiwezi kubeba maneno yote haya
|
||
|
|
||
|
"Watu wanaweza kumwamini na kisha kufanya mambo mabaya yatakayo haribu taifa"
|