sw_tn/amo/06/14.md

297 B

tazama

"sikiiza" au "kuwa makini kwa kile ninachotaka kukwambai."

asema Bwana Yahwe

Hapa Mungu ananukuliwa.

kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba

"kutoka mpaka wa kaskazini mwa mchi yako hata mpaka wa kusini"

kijito

mto mdogo ambao hububujika kipindi cha majira ya unyevu pekee