sw_tn/amo/05/18.md

323 B

Kwa nini mnairefusha siku ya Yahwe?

"Msiirefushe siku ya Yahwe!"

Itakuwa giza na sio nuru

"Mambo mabaya, sio mambo mazuri, yatatokea siku hiyo"

Je siku ya Yahwe itakuwa giza na sio nuru?

"Siku ya Yahwe itakuwa giza hakika na sio nuru!" au "Mambo mabaya, sio mambo mazuri, yatatokea hakika katika siku ya Yahwe!"