sw_tn/act/28/05.md

227 B

akamkung'utia yule mnyama motoni

alitikisa mkono wake ili yule nyoka aangukie kwenye moto

walisema kuwa alikuwa mungu

labda kulikuwa na imani kwamba mtu yeyote aliyeishi baada ya kugongwa na nyoka alikuwa sio wa kawaida