sw_tn/act/27/19.md

224 B

Mabaharia wakaanza kutupa vifaa kwa mikono yao wenyewe

Vifaa ina maanisha vyombo maalumu kwa ajili ya mabaharia. Hii inaonesha jinsi hali ilivyokuwa tete.

Bado dhoruba kubwa ilitupiga

Upepo wa kutisha ulitupiga sana.