sw_tn/act/27/19.md

8 lines
224 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Mabaharia wakaanza kutupa vifaa kwa mikono yao wenyewe
Vifaa ina maanisha vyombo maalumu kwa ajili ya mabaharia. Hii inaonesha jinsi hali ilivyokuwa tete.
# Bado dhoruba kubwa ilitupiga
Upepo wa kutisha ulitupiga sana.