sw_tn/act/23/06.md

680 B

Ndugu zangu

Hapa "Ndugu zangu" maana yake "Wayahudi wenzake"

mwana wa Mfarisayo

Hapa "mwana" maana yake yeye ni mwana halisi wa Farisayo na pia mtoto wa farisayo. "baba na mababa zake walikuwa mafarisayo"

Kwa ujasiri nakubali ufufuo wa wafu

neno "ufufuo" linaweza kumaanisha "kurudi kwenye maisha." kivumishi cha jina "wafu" inaweza kuwa "wale waliokufa." "Mimi kwa ujasiri nakubali wale waliokufa watarejea katika maisha"

Nimekwisha kuhukumiwa

"Mnanihukumu juu ya jambo hili"

mkutano ukagawanyika

"watu katika umati kwa nguvu hawakukubaliana wao kwa wao"

Kwa maana Masadukayo ... lakini Mafarisayo

Hii ni taarifa za msingi kuhusu Masadukayo na Mafarisayo.