forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
680 B
Markdown
24 lines
680 B
Markdown
|
# Ndugu zangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "Ndugu zangu" maana yake "Wayahudi wenzake"
|
||
|
|
||
|
# mwana wa Mfarisayo
|
||
|
|
||
|
Hapa "mwana" maana yake yeye ni mwana halisi wa Farisayo na pia mtoto wa farisayo. "baba na mababa zake walikuwa mafarisayo"
|
||
|
|
||
|
# Kwa ujasiri nakubali ufufuo wa wafu
|
||
|
|
||
|
neno "ufufuo" linaweza kumaanisha "kurudi kwenye maisha." kivumishi cha jina "wafu" inaweza kuwa "wale waliokufa." "Mimi kwa ujasiri nakubali wale waliokufa watarejea katika maisha"
|
||
|
|
||
|
# Nimekwisha kuhukumiwa
|
||
|
|
||
|
"Mnanihukumu juu ya jambo hili"
|
||
|
|
||
|
# mkutano ukagawanyika
|
||
|
|
||
|
"watu katika umati kwa nguvu hawakukubaliana wao kwa wao"
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana Masadukayo ... lakini Mafarisayo
|
||
|
|
||
|
Hii ni taarifa za msingi kuhusu Masadukayo na Mafarisayo.
|