sw_tn/act/22/30.md

395 B

Taarifa ya jumla

Mstari huu unazungumzia jemedari mkuu

Jemedari mkuu

afisa wa jeshi mwenye kikosi cha askari wapatao 600

Hivyo akamfungua vifungo vyake

"yawezekana jemedaari mkuu alimfungua Paulo minyororo." au Mkuu wa jeshi aliamuru askari wake kumfungua vifungo Paulo"

Akamleta Paulo chini

Kutoka kwenye ngome, kuna njia ya kutelemka chini mpaka kwenye uwanda wa nje wa hekalu"