forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
500 B
Markdown
20 lines
500 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa hotuba ya Paulo kwa umati wa Wayahudi waliokuwa kwenye ngome.
|
|
|
|
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Fungu hili linazungumzia Wayahudi wasioamini waliokuwa Yerusalemu
|
|
|
|
# wao wenyewe wanajua
|
|
|
|
"wao wenyewe" ni msisitizo wa neno katika kiwakilishi cha jina
|
|
|
|
# katika kila sinagogi
|
|
|
|
Paulo alikwenda kwenye masinagogi akiwatafuta Wayahudi waliokuwa wamemwamini Yesu.
|
|
|
|
# damu ya Stefano ... ilikuwa imemwagika
|
|
|
|
Msemo huu ulikuwa ni desturi ya kusema mtu aliyeuawa. "walimwua Stephen."
|