sw_tn/act/22/19.md

500 B

Sentensi unganishi

Huu ni mwisho wa hotuba ya Paulo kwa umati wa Wayahudi waliokuwa kwenye ngome.

Taarifa ya jumla

Fungu hili linazungumzia Wayahudi wasioamini waliokuwa Yerusalemu

wao wenyewe wanajua

"wao wenyewe" ni msisitizo wa neno katika kiwakilishi cha jina

katika kila sinagogi

Paulo alikwenda kwenye masinagogi akiwatafuta Wayahudi waliokuwa wamemwamini Yesu.

damu ya Stefano ... ilikuwa imemwagika

Msemo huu ulikuwa ni desturi ya kusema mtu aliyeuawa. "walimwua Stephen."