forked from WA-Catalog/sw_tn
500 B
500 B
Sentensi unganishi
Huu ni mwisho wa hotuba ya Paulo kwa umati wa Wayahudi waliokuwa kwenye ngome.
Taarifa ya jumla
Fungu hili linazungumzia Wayahudi wasioamini waliokuwa Yerusalemu
wao wenyewe wanajua
"wao wenyewe" ni msisitizo wa neno katika kiwakilishi cha jina
katika kila sinagogi
Paulo alikwenda kwenye masinagogi akiwatafuta Wayahudi waliokuwa wamemwamini Yesu.
damu ya Stefano ... ilikuwa imemwagika
Msemo huu ulikuwa ni desturi ya kusema mtu aliyeuawa. "walimwua Stephen."