forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
922 B
Markdown
32 lines
922 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anamalizia kuwaambia kile kilichotokea kwake huko Dameski. Ananukuu kile Anania alisema kwake. Hii ni sehemu ya hotuba ya Paulo aliyoitoa huko Yerusalemu.
|
|
|
|
# mapenzi yake
|
|
|
|
"kile Mungu anapanga na kinaweza kutokea"
|
|
|
|
# kusikia sauti kutoka mdomoni kwake mwenyewe
|
|
|
|
Vyote "sauti" na "kinywa" rejea kwa nayezungumza. "kumsikiliza akiongea moja kwa moja kwako"
|
|
|
|
# kwa watu wote
|
|
|
|
Hapa "watu" maana yake watu wote akiwa mwanamume au mwanamke. "kwa watu wote"
|
|
|
|
# Na sasa
|
|
|
|
Hapa "sasa" haina maana "wakati huu," lakini linatumika kuleta umakini na hatua muhimu ifuatayo.
|
|
|
|
# ubatizwe
|
|
|
|
Hii inaweza kuanza: "naomba nikupatize" au "kupokea ubatizo"
|
|
|
|
# Kuoshwa na kuondolewa dhambi zako
|
|
|
|
kama kuoshwa kwa mwili wa mtu ili kuondoa uchafu, akiliitia jina la Yesu kwa msamaha wa dhambi. Omba msamaha wa dhambi zako.
|
|
|
|
# ukiliitia jina lake
|
|
|
|
Hapa "jina" ni Bwana Yesu. "wito kwa Bwana" au "kuamini katika Bwana"
|