sw_tn/act/22/14.md

922 B

Sentensi unganishi

Paulo anamalizia kuwaambia kile kilichotokea kwake huko Dameski. Ananukuu kile Anania alisema kwake. Hii ni sehemu ya hotuba ya Paulo aliyoitoa huko Yerusalemu.

mapenzi yake

"kile Mungu anapanga na kinaweza kutokea"

kusikia sauti kutoka mdomoni kwake mwenyewe

Vyote "sauti" na "kinywa" rejea kwa nayezungumza. "kumsikiliza akiongea moja kwa moja kwako"

kwa watu wote

Hapa "watu" maana yake watu wote akiwa mwanamume au mwanamke. "kwa watu wote"

Na sasa

Hapa "sasa" haina maana "wakati huu," lakini linatumika kuleta umakini na hatua muhimu ifuatayo.

ubatizwe

Hii inaweza kuanza: "naomba nikupatize" au "kupokea ubatizo"

Kuoshwa na kuondolewa dhambi zako

kama kuoshwa kwa mwili wa mtu ili kuondoa uchafu, akiliitia jina la Yesu kwa msamaha wa dhambi. Omba msamaha wa dhambi zako.

ukiliitia jina lake

Hapa "jina" ni Bwana Yesu. "wito kwa Bwana" au "kuamini katika Bwana"