sw_tn/act/22/12.md

584 B

Taarifa ya jumla

Fungu hili linazungumzia habari za Anania

Anania

Huyu si Anania aliyekufa mapema mwanzoni mwa sura ya 5:3

mtu mwema kwa mujibu wa sheria

Anania ilikuwa makini sana kuhusu kufuata sheria za Mungu.

aliyenenwa vyema na Wayahudi walioishi kule

"Wayahudi walioishi kule walinema mema juu yake"

ndugu Sauli

Hapa "Ndugu" ni njia ya kistaarabu kumuelezea mtu. "Rafiki yangu Sauli"

pokea kuona

neno "kuona" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "kuona." "kuona tena"

muda uleule

Hii ni kawaida kama tukio lilitendeka muda mfupi baada ya kuanza kwa tukio.