forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
584 B
Markdown
28 lines
584 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Fungu hili linazungumzia habari za Anania
|
||
|
|
||
|
# Anania
|
||
|
|
||
|
Huyu si Anania aliyekufa mapema mwanzoni mwa sura ya 5:3
|
||
|
|
||
|
# mtu mwema kwa mujibu wa sheria
|
||
|
|
||
|
Anania ilikuwa makini sana kuhusu kufuata sheria za Mungu.
|
||
|
|
||
|
# aliyenenwa vyema na Wayahudi walioishi kule
|
||
|
|
||
|
"Wayahudi walioishi kule walinema mema juu yake"
|
||
|
|
||
|
# ndugu Sauli
|
||
|
|
||
|
Hapa "Ndugu" ni njia ya kistaarabu kumuelezea mtu. "Rafiki yangu Sauli"
|
||
|
|
||
|
# pokea kuona
|
||
|
|
||
|
neno "kuona" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "kuona." "kuona tena"
|
||
|
|
||
|
# muda uleule
|
||
|
|
||
|
Hii ni kawaida kama tukio lilitendeka muda mfupi baada ya kuanza kwa tukio.
|