forked from WA-Catalog/sw_tn
584 B
584 B
Taarifa ya jumla
Fungu hili linazungumzia habari za Anania
Anania
Huyu si Anania aliyekufa mapema mwanzoni mwa sura ya 5:3
mtu mwema kwa mujibu wa sheria
Anania ilikuwa makini sana kuhusu kufuata sheria za Mungu.
aliyenenwa vyema na Wayahudi walioishi kule
"Wayahudi walioishi kule walinema mema juu yake"
ndugu Sauli
Hapa "Ndugu" ni njia ya kistaarabu kumuelezea mtu. "Rafiki yangu Sauli"
pokea kuona
neno "kuona" inaweza kutafsiriwa na kitenzi "kuona." "kuona tena"
muda uleule
Hii ni kawaida kama tukio lilitendeka muda mfupi baada ya kuanza kwa tukio.