sw_tn/act/22/09.md

527 B

ila hawakuielewa sauti ya yule aliye ongea na mimi

Neno "sauti" linasimama badala ya mtu anayeongea. Hawakuelewa kile yule mtu alichokuwa akiongea nami.

huko utaambiwa

"kuna mtu atakuambia" au "huko utafahamu"

Sikuweza kuona kwa sababu ya mwangaza wa ile nuru

"Niliachwa nikiwa sioni kwasababu ya uli mwanga angavu.

nikaenda Dameski kwa kuongozwa kwa mikono ya wale waliokuwa na mimi

Hapa "mikono" anasimama kwa wale waliomuongoza Paul. Hii inaweza ikaanza: "Watu waliokuwa na mimi waliniongoza kwenda Dameski"