forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
527 B
Markdown
16 lines
527 B
Markdown
|
# ila hawakuielewa sauti ya yule aliye ongea na mimi
|
||
|
|
||
|
Neno "sauti" linasimama badala ya mtu anayeongea. Hawakuelewa kile yule mtu alichokuwa akiongea nami.
|
||
|
|
||
|
# huko utaambiwa
|
||
|
|
||
|
"kuna mtu atakuambia" au "huko utafahamu"
|
||
|
|
||
|
# Sikuweza kuona kwa sababu ya mwangaza wa ile nuru
|
||
|
|
||
|
"Niliachwa nikiwa sioni kwasababu ya uli mwanga angavu.
|
||
|
|
||
|
# nikaenda Dameski kwa kuongozwa kwa mikono ya wale waliokuwa na mimi
|
||
|
|
||
|
Hapa "mikono" anasimama kwa wale waliomuongoza Paul. Hii inaweza ikaanza: "Watu waliokuwa na mimi waliniongoza kwenda Dameski"
|