sw_tn/act/22/06.md

303 B

Sentensi unganishi

Paulo anazungumzia namna alivyoweza kukutana na Yesu.

Ikatokea ya kwamba

Msemo huu umetumika hapa kama tukio la kwanza. Hapa Paulo anaelezea jinsi alivyokutana na Yesu.

nikasikia sauti ikiniambia

Hapa "sauti" inasimama kwa mtu akizungumza. "Mimi nilisikia mtu akiniambia"