Sentensi unganishi
Paulo anazungumzia namna alivyoweza kukutana na Yesu.
Ikatokea ya kwamba
Msemo huu umetumika hapa kama tukio la kwanza. Hapa Paulo anaelezea jinsi alivyokutana na Yesu.
nikasikia sauti ikiniambia
Hapa "sauti" inasimama kwa mtu akizungumza. "Mimi nilisikia mtu akiniambia"