forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
303 B
Markdown
12 lines
303 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anazungumzia namna alivyoweza kukutana na Yesu.
|
||
|
|
||
|
# Ikatokea ya kwamba
|
||
|
|
||
|
Msemo huu umetumika hapa kama tukio la kwanza. Hapa Paulo anaelezea jinsi alivyokutana na Yesu.
|
||
|
|
||
|
# nikasikia sauti ikiniambia
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" inasimama kwa mtu akizungumza. "Mimi nilisikia mtu akiniambia"
|