sw_tn/act/21/39.md

555 B

Sentensi unganishi

Paulo anaanza kujitetea kwa kile alichukuwa amefanya

Nakuuliza

"nakuomba" au "nakusihi"

nikubalie

"Tafadhali nikubalie" au tafadhali niruhusu"

Jemadari alikuwa amempa kibali

Neno "kibali" linamaanisha kuwa mkuu wa kikosi alikmpa Paulo kibali cha kuzungumza.

Paulo akasimama penye ngazi

Neno "ngazi" linamaanisha hatua ya juu ya kupanda kuelekea kwenye ngome.

akatoa ishara ya mkono kwa watu

Paulo alitoa ishara ya mkono kwa watu kuashiria wanyamaze

kulipokuwa na ukimywa sana

wakati watu waliponyamaza kabisa