sw_tn/act/21/27.md

849 B

Sentensi unganishi

Huu ni mwanzo wa sehemu ya hadithi kuhusu kukamatwa kwa Paulo.

Taarifa ya jumla

Mstari wa 29 unaelezea habari kuhusu Wayahudi kutoka Asia.

Siku saba

Hizi zilikuwa siku saba kwa ajili ya kujitakasa.

katika Hekalu

Paulo hakuwa ndani ya hekalu lenyewe. Alikuwa kwenye uwa wa nje wa hekalu.

Makutano wote wakashawishika

"Ilisababisha kundi kubwa la watu kuanzisha upinzani.

na wakamnyoshea mikono

Neno Kumnyoshea mikono" lina maana ya watu kuanza kumvamia.

watu, sheria na mahali

"Watu wa Israel, sheria ya Musa, na hekalu

mwanzoni walikuwa wamemwona...walidhani kwamba Paulo alikuwa ameingia na Myunani hekaluni

Mwandishi Luka anaelezea kwanini wayahudi kutoka Asia walimshitaki Paulo kuwa alimleta Myunani

Trofimu

Huyu alikuwa mwanaume Myunani ambaye Paulo alishitakiwa kuwa aliingia naye hekalu