forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
627 B
Markdown
28 lines
627 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anaanza rariba yake akiwa Kaisaria
|
|
|
|
# tuliwasili Tolemai
|
|
|
|
Tolemai ulikuwa ni mji wa kusini mwa Tiro, Lebanoni. Tolemai ya sasa ni Acre, Israeli.
|
|
|
|
# ndugu hawa
|
|
|
|
"waumini wenzake"
|
|
|
|
# mmoja kati ya saba
|
|
|
|
"Saba" inahusu wanaume waliochaguliwa kusambaza chakula na misaada kwa wajane.
|
|
|
|
# mtu huyu
|
|
|
|
"Philipo"
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Neno hili limetumika kama alama ya kumalizika kwa tukio moja na kuanza kwa tukio jingine. Luka anasimulia habari za Philipo na binti zake.
|
|
|
|
# mabinti wanne mabikira ambao walitabiri
|
|
|
|
"Mabinti bikra wanne ambao kwa kawaida walikuwa wakipokea na kupeleka ujumbe kwa watu kutoka kwa Mungu.
|