sw_tn/act/21/07.md

627 B

Sentensi unganishi

Paulo anaanza rariba yake akiwa Kaisaria

tuliwasili Tolemai

Tolemai ulikuwa ni mji wa kusini mwa Tiro, Lebanoni. Tolemai ya sasa ni Acre, Israeli.

ndugu hawa

"waumini wenzake"

mmoja kati ya saba

"Saba" inahusu wanaume waliochaguliwa kusambaza chakula na misaada kwa wajane.

mtu huyu

"Philipo"

Sasa

Neno hili limetumika kama alama ya kumalizika kwa tukio moja na kuanza kwa tukio jingine. Luka anasimulia habari za Philipo na binti zake.

mabinti wanne mabikira ambao walitabiri

"Mabinti bikra wanne ambao kwa kawaida walikuwa wakipokea na kupeleka ujumbe kwa watu kutoka kwa Mungu.