forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
945 B
Markdown
40 lines
945 B
Markdown
# Paulo alikwenda katika sinagogi akasema kwa ushujaa kwa muda wa miezi mitatu
|
|
|
|
Paul mara kwa mara alihudhuria mikutano katika sinagogi kwa miezi mitatu na kusema nao kwa ujasiri
|
|
|
|
# kuwavuta watu
|
|
|
|
kujaribu kuwashawishi watu kwa ujumbe wa kweli.
|
|
|
|
# kuhusiana na ufalme wa Mungu
|
|
|
|
Hapa neno "Ufalme" linasimamia uongozi wa Mungu kama Mfalme.
|
|
|
|
# Baadhi ya Wayahudi wengine walikuwa wagumu
|
|
|
|
Baadhi ya Wayahudi wakaidi walikataa kukubali ujumbe
|
|
|
|
# Kuongea mabaya
|
|
|
|
Kuongea mambo mabaya
|
|
|
|
# njia ya kristo
|
|
|
|
wokovu kupitia Yesu Kristo
|
|
|
|
# katika ukumbi wa Tirano
|
|
|
|
Katika ukumbi mkubwa mahali Tirano alipokuwa akifundishia watu.
|
|
|
|
# Tirano
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu mwanaume
|
|
|
|
# wote waliokuwa wanaishi Asia walisikia
|
|
|
|
Inaweza kuwa na maana ya 1) 'Paul alishirikisha injili kwa watu wengi katika Asia' au 2) 'Ujumbe wa Paulo uliwafikia wote wa Asia kutoka Efeso kutoka hadi Asia yote.
|
|
|
|
# Neno la Bwana
|
|
|
|
Hapa "neno" linasimama kwa ujumbe. Ujumbe kuhusu Bwana Yesu.
|