sw_tn/act/19/08.md

945 B

Paulo alikwenda katika sinagogi akasema kwa ushujaa kwa muda wa miezi mitatu

Paul mara kwa mara alihudhuria mikutano katika sinagogi kwa miezi mitatu na kusema nao kwa ujasiri

kuwavuta watu

kujaribu kuwashawishi watu kwa ujumbe wa kweli.

kuhusiana na ufalme wa Mungu

Hapa neno "Ufalme" linasimamia uongozi wa Mungu kama Mfalme.

Baadhi ya Wayahudi wengine walikuwa wagumu

Baadhi ya Wayahudi wakaidi walikataa kukubali ujumbe

Kuongea mabaya

Kuongea mambo mabaya

njia ya kristo

wokovu kupitia Yesu Kristo

katika ukumbi wa Tirano

Katika ukumbi mkubwa mahali Tirano alipokuwa akifundishia watu.

Tirano

Hili ni jina la mtu mwanaume

wote waliokuwa wanaishi Asia walisikia

Inaweza kuwa na maana ya 1) 'Paul alishirikisha injili kwa watu wengi katika Asia' au 2) 'Ujumbe wa Paulo uliwafikia wote wa Asia kutoka Efeso kutoka hadi Asia yote.

Neno la Bwana

Hapa "neno" linasimama kwa ujumbe. Ujumbe kuhusu Bwana Yesu.