forked from WA-Catalog/sw_tn
416 B
416 B
Taarifa ya jumla
Hili ni tukio jipya katika hadithi. Paulo aliletwa kwenye kiti cha hukumu mbele ya Galio.
Galio alipofanywa mtawala wa Akaya
Akaya ilikuwa jimbo la Roma ambao Korintho ilikuwa sehemu yake ambayo sasa inafahamika kama kusini mwa Ugiriki.
kumleta yeye mbele ya kiti cha hukumu
Wayahudi walimshika Paulo kwa nguvu na kumleta Paulo mbele ya mahakama. "walimpeleka ili akahukumiwe na mtawala"