sw_tn/act/18/07.md

568 B

Kauli ya jumla

maelezo ya fungu hili yanazungumzia habari za Tito Yusta na Krispas

Tito Yusto...Krispo

Ni majina ya wanaume

alimwabudu Mungu

Ni mwabudu Mungu wa kimataifa ambaye alimtukuza Mungu na kumfuata, lakini si kwa njia ya kushika sheria za Kiyahudi.

Kiongozi wa sinagogi

ni mtu wa kawaida ambaye hufadhili na kuhudumia sinagogi, na si lazima awe mwalimu.

na watu wa nyumbani mwake

"watu walioishi na yeye ikiwa ni pamoja na ndugu na jamaa zake"

Watu wengi wa Korintho walibatizwa

"Watu wengi wa Korintho ambao siyo Wayahudi" walibatizwa