forked from WA-Catalog/sw_tn
568 B
568 B
Kauli ya jumla
maelezo ya fungu hili yanazungumzia habari za Tito Yusta na Krispas
Tito Yusto...Krispo
Ni majina ya wanaume
alimwabudu Mungu
Ni mwabudu Mungu wa kimataifa ambaye alimtukuza Mungu na kumfuata, lakini si kwa njia ya kushika sheria za Kiyahudi.
Kiongozi wa sinagogi
ni mtu wa kawaida ambaye hufadhili na kuhudumia sinagogi, na si lazima awe mwalimu.
na watu wa nyumbani mwake
"watu walioishi na yeye ikiwa ni pamoja na ndugu na jamaa zake"
Watu wengi wa Korintho walibatizwa
"Watu wengi wa Korintho ambao siyo Wayahudi" walibatizwa