sw_tn/act/18/07.md

24 lines
568 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Kauli ya jumla
maelezo ya fungu hili yanazungumzia habari za Tito Yusta na Krispas
# Tito Yusto...Krispo
Ni majina ya wanaume
# alimwabudu Mungu
Ni mwabudu Mungu wa kimataifa ambaye alimtukuza Mungu na kumfuata, lakini si kwa njia ya kushika sheria za Kiyahudi.
# Kiongozi wa sinagogi
ni mtu wa kawaida ambaye hufadhili na kuhudumia sinagogi, na si lazima awe mwalimu.
# na watu wa nyumbani mwake
"watu walioishi na yeye ikiwa ni pamoja na ndugu na jamaa zake"
# Watu wengi wa Korintho walibatizwa
"Watu wengi wa Korintho ambao siyo Wayahudi" walibatizwa