sw_tn/act/17/24.md

497 B

Dunia

Kwa hali ya ujumla "dunia" inamaanisha mbingu na ardhi na kila kitu kilichoko ndani yake.

kuwa Yeye ni Bwana

"Yeye" inarejea yule Mungu asiyefahamika ambaye Paulo anawaelezea kuwa ni Bwana Mungu. "kwasababu ni Mungu"

yaliyojengwa na mikono

"kupitia matendo ya watu"

hatumikiwi na mikono ya wanadamu

"Kutumikiwa" ni ile hali ambayo Daktari anapomhudumia mgonjwa ili apone. "kujali kwa"

Kwa mikono ya watu

"kwa mikono ya wanadamu"

Kwani Yeye

"kwasababu Yeye mwenyewe"