forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
497 B
Markdown
24 lines
497 B
Markdown
|
# Dunia
|
||
|
|
||
|
Kwa hali ya ujumla "dunia" inamaanisha mbingu na ardhi na kila kitu kilichoko ndani yake.
|
||
|
|
||
|
# kuwa Yeye ni Bwana
|
||
|
|
||
|
"Yeye" inarejea yule Mungu asiyefahamika ambaye Paulo anawaelezea kuwa ni Bwana Mungu. "kwasababu ni Mungu"
|
||
|
|
||
|
# yaliyojengwa na mikono
|
||
|
|
||
|
"kupitia matendo ya watu"
|
||
|
|
||
|
# hatumikiwi na mikono ya wanadamu
|
||
|
|
||
|
"Kutumikiwa" ni ile hali ambayo Daktari anapomhudumia mgonjwa ili apone. "kujali kwa"
|
||
|
|
||
|
# Kwa mikono ya watu
|
||
|
|
||
|
"kwa mikono ya wanadamu"
|
||
|
|
||
|
# Kwani Yeye
|
||
|
|
||
|
"kwasababu Yeye mwenyewe"
|