sw_tn/act/17/16.md

682 B

Taarifa ya jumla

Hii ni sehemu nyingine ya hadithi ya Paulo na Sila wakiwa safarini. Paulo kwa sasa yuko Athene akiwangojea Silas na Timotheo kuungana naye.

roho yake iikasirishwa kuona mji umejaa na miungu ya sanamu.

"alisumbuliwa" au "alifadhaika" au "akawa na huzuni"

akajadiliana

Hili neno linaashiria kuwa kulikuwa na majibizano zaidi kutoka kwa wasikilizaji kuliko katika kuhubiri. "alijadiliana"

sokoni

Hii ni sehemu ambayo watu huuza na kununua vitu, ngombe, au huduma hutolewa. " sehemu ya umma"

Wale waliokuwa wakimwabudu Mungu

Inamaanisha Watu wa mataifa waliokuwa wakimsifu Mungu na kumfuata ingawa hawakuwa wakifuata taratibu za ibada ya Kiyahudi.