sw_tn/act/17/10.md

657 B

Taarifa ya Jumla

Hii ni sehemu nyingine ya habari kuhusu Paulo na Sila safarini. Kwa sasa wako Beroya"

ndugu

Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini"

Hawa watu walikuwa waungwana mno

Ni watu waliokuwa na utayari wa kufikiri kwa hali ya kupokea mawazo mapya zaidi ya watu wengine'.

walipokea neno

"kusikiliza mafundisho"

kwa utayari wa akili zao

"Hao Waberoya walikuwa wamejiandaa kuchunguza mafundisho ya Paulo kulingana na maandiko"

kuchunguza maandiko kila siku

"kusoma kwa umakini na kupima uhalisia wa kifungu cha maandiko kila siku"

mambo haya yaliendelea hivyo.

"Maneno aliyoyasema Paulo yalikuwa ya kweli.