forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
657 B
Markdown
28 lines
657 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu nyingine ya habari kuhusu Paulo na Sila safarini. Kwa sasa wako Beroya"
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
Neno "ndugu" linamaanisha wanaume na wanawake walioamini"
|
||
|
|
||
|
# Hawa watu walikuwa waungwana mno
|
||
|
|
||
|
Ni watu waliokuwa na utayari wa kufikiri kwa hali ya kupokea mawazo mapya zaidi ya watu wengine'.
|
||
|
|
||
|
# walipokea neno
|
||
|
|
||
|
"kusikiliza mafundisho"
|
||
|
|
||
|
# kwa utayari wa akili zao
|
||
|
|
||
|
"Hao Waberoya walikuwa wamejiandaa kuchunguza mafundisho ya Paulo kulingana na maandiko"
|
||
|
|
||
|
# kuchunguza maandiko kila siku
|
||
|
|
||
|
"kusoma kwa umakini na kupima uhalisia wa kifungu cha maandiko kila siku"
|
||
|
|
||
|
# mambo haya yaliendelea hivyo.
|
||
|
|
||
|
"Maneno aliyoyasema Paulo yalikuwa ya kweli.
|