sw_tn/act/16/32.md

415 B

Sentensi unganishi

wakanena, hapa inamaanisha Paulo na Sila..

nyumbani mwake

Mlinzi wa gereza aliwaleta Paulo na Sila nyumbani kwake"

yeye pamoja na watu wa nyumbani mwake wakabatizwa

"Paulo na Sila walimbatiza Mlinzi wa gereza pamoja na watu wote wa nyumbani kwake"

yeye...naye

Maneno haya yanamaanisha Mlinzi wa gereza

kwasababu wote waliamini

"kwasababu watu wote wa nyumbani kwake waliamini"