sw_tn/act/14/27.md

394 B

Taarifa ya Jumla:

Waliofika Antiokia na kutoa taarifa ni Paulo na Barnaba. Aliyefungua mlango ni Mungu.

kusanya kanisa pamoja

"wakawaita waumini wa palepale kukusanyika pamoja"

alifungua mlango wa imani kwa Mataifa

Mungu kuwawezesha Mataifa kuamini inazungumziwa kana kwambaaliwafungulia mlango uliokuwa unawazuia kuingia katika imani. "Mungu alifanye iwezekane kwa Mataifa kuamini"