sw_tn/act/14/27.md

12 lines
394 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Taarifa ya Jumla:
Waliofika Antiokia na kutoa taarifa ni Paulo na Barnaba. Aliyefungua mlango ni Mungu.
# kusanya kanisa pamoja
"wakawaita waumini wa palepale kukusanyika pamoja"
# alifungua mlango wa imani kwa Mataifa
Mungu kuwawezesha Mataifa kuamini inazungumziwa kana kwambaaliwafungulia mlango uliokuwa unawazuia kuingia katika imani. "Mungu alifanye iwezekane kwa Mataifa kuamini"