forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
394 B
Markdown
12 lines
394 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Waliofika Antiokia na kutoa taarifa ni Paulo na Barnaba. Aliyefungua mlango ni Mungu.
|
||
|
|
||
|
# kusanya kanisa pamoja
|
||
|
|
||
|
"wakawaita waumini wa palepale kukusanyika pamoja"
|
||
|
|
||
|
# alifungua mlango wa imani kwa Mataifa
|
||
|
|
||
|
Mungu kuwawezesha Mataifa kuamini inazungumziwa kana kwambaaliwafungulia mlango uliokuwa unawazuia kuingia katika imani. "Mungu alifanye iwezekane kwa Mataifa kuamini"
|